Tuesday 2 May 2017

NAMNA YA KUBANA UKE WAKO (HALF BIKIRA)

Uke kuregea ni tatizo linalotokana na kuregea kwa misuli ya uke hali hii husababisha Uke kuregea (Kutepeta). Maranyingi wanaume wenye wake au wapenzi ambao wana matatizo ya uke ulio regea  hua wanapoteza hamu ya kuwaingilia hao wake au wapenzi wao au kushindwa kumudu vyema hilo tendo la ndoa kwa maana ya kutokuweza kurudia mara ya pili ikiwa atamwaga la kwanza.
         
            SABABU ZA UKE KUREGEA
Zipo sababu zinazopelekea misuli ya uke kuregea hivyo kusababisha mwanamke kua na uke ulio regea nazo ni hizi zifuatazo;
                              (1)  Magonjwa ya uke
                              (2)  Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara
                              (3)  Kujifungua
                              (4)   Usagaji

            DAWA YA UKE KUREGEA
(1)Tafuta mnana (mint tree) jemsha majani kadha alafu jifukize mvuke wake na upake maji yake kila unapokoga.

(2)Tafuta maganda ya mkomamanga ya Nike mpka ya kauke then yasage upate unga alfu chukua ujazo wa nusu kikombe cha Chai na maji liter 1 then chemsha alfu chuja upate maji tu jipake kila asubuhi na time ya kufanya tendo la ndoa.

(3)Chukua kokwa za embe za kutosha zianike jua mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini.
                  MATUMIZI
Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku
fanya zoezi hilo kila siku kwa muda wa mwezi mmoja.
     #Mabadiliko utayaona baada siku tatu

No comments:

Post a Comment

Comments

ANDIKA TATIZO LOLOTE KWENYE COMMENT TUKUANDIKIA SOLUTION