Saturday 6 May 2017
Maneno ya kwanza ya Belle 9 tangu kufiwa na baba yake
Friday 5 May 2017
“Nimeishi kwenye mashindano, siku zote naamini kwenye ushindani” – Darassa
Tuesday 2 May 2017
DHIBITI U.T.I KWA TIBA MBADALA
UNAWEZA KUDHIBITI U.T.I KWA TIBA MBADALA
Kwa kawaida kila ungonjwa una tiba mbadala, siyo lazima kwenda hospitali. Unaweza kuudhibiti au kuponya ugonjwa huu kwa kunywa maji mengi pamoja na juisi itokanayo na matunda halisi, iwapo utawahi kabla tatizo halijawa sugu.
Ili kujiepusha na ugonjwa huu, suala la usafi na kuwa na tabia ya kunywa maji ya kutosha ni jambo muhimu sana. Hakikisha unajisafisha vizuri mara baada ya kwenda haja na kubadilisha mara kwa mara nguo yako ya ndani, hasa kwa akina mama.
Katika kuudhibiti ugonjwa huu, pendelea kula vyakula ama vinywaji vyenye kiwango kikubwa cha vitamini C ambayo utakipata kwenye matunda ya aina mbalimbali yakiwemo machungwa, mboga za majani n.k. Jiepushe na ulaji wa vyakula vya ‘kupaki’ kama vile ‘chizi’, chokoleti na bidhaa nyingine zilizotengenezwa kutokana na maziwa. Pia jiepushe na ulaji wa vyakula vyenye viungo vingi kama pilau, epuka vyinywaji vyenye ‘caffeine’, kilevi na sigara na mwisho achana na vinywaji kama soda na vinavyofanana na soda.
NAMNA YA KUBANA UKE WAKO (HALF BIKIRA)
Uke kuregea ni tatizo linalotokana na kuregea kwa misuli ya uke hali hii husababisha Uke kuregea (Kutepeta). Maranyingi wanaume wenye wake au wapenzi ambao wana matatizo ya uke ulio regea hua wanapoteza hamu ya kuwaingilia hao wake au wapenzi wao au kushindwa kumudu vyema hilo tendo la ndoa kwa maana ya kutokuweza kurudia mara ya pili ikiwa atamwaga la kwanza.
SABABU ZA UKE KUREGEA
Zipo sababu zinazopelekea misuli ya uke kuregea hivyo kusababisha mwanamke kua na uke ulio regea nazo ni hizi zifuatazo;
(1) Magonjwa ya uke
(2) Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara
(3) Kujifungua
(4) Usagaji
DAWA YA UKE KUREGEA
(1)Tafuta mnana (mint tree) jemsha majani kadha alafu jifukize mvuke wake na upake maji yake kila unapokoga.
(2)Tafuta maganda ya mkomamanga ya Nike mpka ya kauke then yasage upate unga alfu chukua ujazo wa nusu kikombe cha Chai na maji liter 1 then chemsha alfu chuja upate maji tu jipake kila asubuhi na time ya kufanya tendo la ndoa.
(3)Chukua kokwa za embe za kutosha zianike jua mapaka zikauke vizuri, zisage hizo kokwa ziwe unga laini.
MATUMIZI
Chukua unga huo wa kokwa za embe ujazo kijiko kimoja kikubwa cha chakula changanya na maji ya vuguvugu ujazo wa nusu lita. Tumia hayo maji kunawa ukeni mara tatu kwa siku
fanya zoezi hilo kila siku kwa muda wa mwezi mmoja.
#Mabadiliko utayaona baada siku tatu